Monday, May 25, 2020

VYAKULA 10 BORA VYA KUONGEZA HAMU YA TENDO LA NDOA💞

FAHAMU VYAKULA VINAVYOONGEZA HAMU YA TENDO LA NDOA💞

💞💞Tatizo la uwezo wa kufanya tendo la ndoa linazidi kukua miongoni wa wanandoa na wapenzi wengi. Takwimu za kitafiti zinaonyesha kuwa karibu ndoa 4 kati ya 10 zenye umri wa miaka 3 na kuendelea zinakabiliana na tatizo hili.

💞💞Aidha wanaume 6 kati ya 10 wanatajwa kulalamikia upungufu wa nguvu za kiume.

Pamoja na matatizo mengine kutajwa kuchangia upungufu wa nguvu za kiume na kushuka kwa msisimko wa tendo miongoni mwa wanandoa, uchunguzi umeonesha kuwa utumiaji holela wa vyakula hasa vyenye mafuta ni moja kati ya sababu zinazochangia kwa kasi tatizo hili.

Kwa kuzingatia hilo, watafiti wa masuala ya uhusiano wa kimapenzi wamebaini aina mbalimbali ya vyakula ambavyo vina uwezo wa kumuongezea mtu nguvu ya kufanya tendo la ndoa kama vinavyoorodheshwa kwenu na Prince Bewisa.

Vyakula hivyo ni hivi vifuatavyo:

🌶️🌶️🌶️1.  PILIPILI🌶️💪💪

Kama tunavyojua wote mara nyingi chakula ambacho kimeungwa pilipili hufanya hata mapigo ya moyo kuwa tofauti na wakati mwingine hata jasho au kamasi hutoka. Ndani ya pilipili kuna kitu kinaitwa capsaicin ambacho hufanya pilipili iwe na hali ya ukali. Capsaicin huwezesha ubongo kutoa homoni ya endorphins ambayo huleta mgusu wa hisia za raha wakati wa kufanya tendo la ndoa.

🌶️🌶️Pia pilipili husisimua mfumo wa fahamu (nerves) wa ubongo na katika kufanya hivyo huwezesha kuamshwa haraka kimapenzi (kunyegeka) wakati wa tendo la ndoa na pia ukiguswa au kubusiwa au kunyonywa au kupapaswa unapata hisia kila sehemu ya mwili.

❤️❤️2.  MATUNDA NA MBOGA🍀🍀
ZA MAJANI

Ulaji wa matunda na mboga za majani una matokeo makubwa sana katika hamu ya tendo la ndoa kwa njia nyingi. Kwanza matunda na mboga za majani hupunguza kiwango cha mafuta na unene (cholesterol). Kuongezeka kwa mafuta mwilini huzuia mzunguko wa damu kwa kubana mishipa ya damu.

❤️❤️Pia kula matunda na mboga za majani huhakikisha balance ya uzito kwani unene (obesity) kwa wanaume kuna matokeo mabaya katika kuzalisha homeni za testoeterone na hatimaye jogoo kushindwa kuwika na kuwa na pia mwanaume anakuwa na hisia za mapenzi (libido) kidogo.

❤️❤️Na pia wanandoa wanapozidi kunenepeana ndipo na hali ya kufurahia au kuwa na hamu ya tendo la ndoa huzidi kupungua. Kitalaam inashauriwa kula milo (potions) 3-5 za matunda kwa siku.

✍️✍️3.  NAFAKA ZISIZOKOBOLEWA

💪💪Nafaka hasa zisizokobolewa kama mahindi, ngano, uwele, nk zina nyuzinyuzi (fibre) na sukari ngumu (complex sugar) ambazo kusaidia kutunza uzito wa mwili. Nafaka husaidia katika kuzalisha homoni za testosterone kwenye damu. Na pia nafaka huwezesha mtu kuwa na nguvu hatimaye kwenda masafa marefu wakati wa tendo.

✍️✍️Kula nafaka nzima kama vile brown bread badala ya white bread, pia kula nafaka halisi badala ya cornflakes ni jambo zuri linalokuhakikisha afya nejama na mahusiano mazuri ya ndoa yako.

💞💞4.  TANGAWIZI💪💪

Tangawizi ni kiungo cha mboga ambacho husisimua sana na kusaidia mfumo wa mzunguko wa damu mwilini. Tangawizi zinajulikana sana kwa kusukuma damu kwenda sehemu za viungo vya uzazi yaani uke na uume hivyo kuwa na umuhimu sana katika kuboresha ufanyaji wa tendo la ndoa. Inaweza kuliwa mbichi, au kuliwa ikiwa imeungwa kwenye chakula au kusagwa na kuwa kama unga na kutumiwa kama chai.

💞💞5.  ASALI❤️❤️

Asali ina madini yanayoitwa boron, ambayo husaidia mwili kutumia homoni ya estrogen ambayo ni homoni inayohusika na viungo ya uzazi na mapenzi kwa mwanamke.

Pia kuna utafiti unaoonesha kwamba asali huongeza nguvu, kitendo ambacho kitapelekea mwanamke kuwa uwezo na hamu ya tendo la ndoa au libido.

🥜🥜6.  KARANGA🥜🥜

Karanga huhusika katika kuchochea mfumo wa mzunguko wa damu (vascular system). Mzunguko wa damu ulio sawasawa katika uke na uume huwezesha mwanaume na mwanamke kupata msisimko wa mapenzi haraka hatimaye tendo la ndoa kuwa murua. Pia karanga zina madini muhimu kama vile magnesium, asidi ya folic na zinc ambayo ni muhimu sana katika usalishaji wa mbegu za mwanaume.

7.  CHAZA (OYSTERS) NA PWEZA🐙

Hawa ni aina ya samaki ambao hupatikana katika maji chumvi. Huwa na kiasi kikubwa sana cha madini ya zinc na haya madini ndiyo huhusika zaidi na uzalishaji wa homoni ya testosterone kwa wanaume.

Pia imethibitika kwamba wanaume wenye ukosefu wa madini ya zinc huwa na matatizo ya nguvu za kiume. Pia madini mengi ya zinc mwilini huongeza kiwango cha shahawa kwa wanaume.

🍂🍂8.  SOYA🍀🍀

Pamoja na kuwa na kiwango kidogo sana cha mafuta (fat) na pia kuwa na kiwango kizuri cha protein, soya zina phytoestrogens ambayo husaidia sana wanawake ambao wamefikia menopause kutengeneza homoni estrogen ya ziada.

Husaidia uke kuwa laini (wet, lubricated) mwanamke akisisimuliwa wakati wa tendo la ndoa.

🍩🍩9.  CHOKOLETI🍩🍩

Chocolate ina phenylethylamine , kemikali ambayo husababisha hisia (feelings) za furaha wakati wa mwanamke au mwanaume kufika kileleni (orgasm). Inasaidia sana kula chocolate masaa machache kabla ya kuanza kufanya tendo la ndoa.

🥑🥑10.  PARACHICHI🥑🥑

Aina nyingine ya chakula ambacho husaidia kuongeza uwezo wa mtu kufanya tendo la ndoa ni Parachichi. Tunda hili linauwezo mkubwa wa kuzalisha vitamini E ambayo husaidia katika uzalishaji wa homoni. Inatajwa kuwa watu wanaotumia tunda hili kwa wingi huwana msisimko mkali wa kimapenzi na kwa upande wa wanawake husaidia kuongeza majimaji yenye utelezi sehemu za siri na hivyo kuzuia uwezekano wa kuchubuka wakati wa kujamiana.

💞💞kwa Ushauri na jinsi ya kutengeneza Viagra ya Asili ukiwa nyumbani kwako
✍️ Whatsapp number 0786667889
💞💞OKOA MAHUSIANO YAKO NA
🔴✍️Dr.chilo

VYA

Monday, May 4, 2020

💝NJIA RAHISI ZA KUONGEZA NGUVU ZA KIUME ❤️

✍️💔 JINSI GANI UNAWEZA KUIMARISHA NGUVU ZA KIUME pasipo kutumia madawa ya kemikali👌💔
         ⚕️⚕️ MwanaApp ✍️✍️
✍️NGUVU ZA KIUME 💔💔
kama nilivyoeleza hapo awali  ni neno pana sana ila maana yake kwa ufupi, ni ile hali inayomkuta mwanaume katika kipindi cha maisha yake  ambapo hujikuta akiwa na moja kati ya dalili zifuatazo:
🍉Kutoa manii/shahawa kidogo sana, nyepesi na dhaifu kiasi cha kushindwa kumpa ujauzito mwanamke
🍉*Kuwahi sana kufika kileleni ndani ya dakika na kuchelewa kupata hamu ya kurudia tendo, wengine huenda mara moja tu kisha kuchoka na kulala usingizi
🍉*Uume kuwa legelege kiasi unaweza kusimama lakini kitendo cha kuingiza tu ukeni unanywea

✍️CHANZO CHA TATIZO NININI👌


⚕️ magonjwa yoyote yanayoweza kuleta athari katika mzunguko wa damu kama kisukari, kiharusi, uzito kuwa juu au kolestro kuwa nyingi katika damu, haiba isiyo njema inayochangia kudhoofika kwa misuri na damu mfano ulevi wa pombe na mihadarati, ulaji mbovu au lishe duni mfano ulaji wa vyakula vyenye mafuta mengi, nafaka zilizokobolewa n.k lakini pia asilimia kubwa ya wahanga wa nguvu za kiume ni kwa wale ndugu waliopitia maisha ya kujichua au bado wanajichua kwani kitendo hiki hudumaza saikolojia juu ya tendo la ndoa [kuzoea kuridhika kwa bao moja] na kudhoofisha misuri ya uume, kuufanya kuwa legevu au kusinyaa kuwa kama wa mtoto.

✔️✔️JINSI YA KUJINASUA♥️♥️

1: DIET YAKO IWE HIVI:
Sio kila mlo ni wa kubugia, vyakula vingine huwa si vizuri haswa vyakula hivi vya kisasa.
Kama mwanaume hakikisha katika milo yako ya siku nzima angalau unapata vyakula vitatu au zaidi katika orodha hii, hata kama ni mara tatu kwa wiki sio mbaya.
Vyakula kama chaza, pweza, tende, mbegu za maboga, asali ya nyuki wadogo, bamia, ndizi mbivu, mbegu za tikiti, pilipili, zabibu, mvinyo mwekundu, tangawizi, chai ya iliki na mdalasini, vitunguu saumu, viazi vyekundu, unga wa habat sawda, udishe au msamitu, ni vyakula ambavyo kazi yake katika mwili ni pamoja na kuchochea uzalishwaji wa homoni za kiume kwa wingi na kuleta mzunguko wa damu katika mishipa, hivyo hukuwezesha uume kujaa damu na kudumu kwa muda mrefu katika mishipa ya uume wakati wa tendo.
✍️KAMA UNAHITAJI FORMULA YA JINSI YAKUTENGENEZA JUICE YA NGUVU ZA KIUME  KWA KUTUMIA MATUNDA NA ASALI 🍉

👌WHATSAPP NO .+22755988626
⚕️⚕️DR.CHILO.✍️ ONLINE CLINIC ♥️

2: ZOEZI LA KEGEL


Hili napenda kuliita zoezi mkombozi wa ndoa kwani kati ya mazoezi yenye ufanisi mkubwa ni zoezi hili kwani mbali na kutumika kukata kitambi, kuondoa maumivu ya mgongo, kiuno na nyonga, zoezi hili linaimarisha sana msuri unaoshikilia uume pindi unapokuwa umesimama [pelvic floor muscle], na usichokijua ni kwamba linathibiti kwa kiwango kikubwa ukuaji wa tezi dume.
Tenga dakika moja au zaidi kufanya zoezi hili uwe shuhuda wa maarifa haya
 Cha kufanya:
Lala chali, kunja miguu kuelekea kwenye kiuno kisha binua kiuno kuelekea juu kwa sekunde 15 kisha shuka tena binua kiuno kuelekea juu kwa raundi 15 hivi inatosha. [Mimi hulifanya zoezi hili ninapoamka asubuhi na usiku kabla sijalala]
✍️✍️ MwanaApp⚕️⚕️

3: Boresha Mtindo wa maisha [Life Style]


Kuwa makini katika katika kile unachokiingiza mwilini na matendo pia, Epuka ulaji wa vyakula vyenye mafuta mengi, achana na junk foods, pombe isipokuwa mvinyo mwekundu [kama imani yako inaruhusu kunywa kiasi], achana upigaji punyeto kama bado unafanya hivyo kwa kuuminya au kuusugua u**me husababisha kutanua misuri na kuifanya kuwa legevu zaidi na kunywea kuwa kama wa mtoto

Acha tabia ya kuangalia picha za ngono

Ziishi hizo kanuni utanipa mrejesho mwenyewe

Labda kwa sababu tatizo hili limekuchosha ungehitaji kupata msaada wa haraka sana bila madhara…..
Una machaguo mawili katika hili pia
1: Kujiandalia tiba lishe mwenyewe hapo ulipo
 2:Kuandaliwa

Kama chaguo lako ni namba 1 ngoja nikuelekeze

Tiba hii unayoandaa inafaa kwa wanaume wote bila kuwa na madhara hata kama una kisukari, presha au vidonda vya tumbo HAINA MADHARA hivyo usihofu pia unaweza kunitafuta inbox/simu kama una jambo unahitaji kuelekezwa zaidi.

.👉👉...Hebu tuandae sasa👇

Mahitaji ni Asali mbichi ya nyuki wadogo lita 1. tangawizi kubwa nne au sita [osha, menya kisha katakata vipande], vitunguu saumu ujazo wa glass moja [menya vizuri kuondoa maganda yake], unga wa msamitu vijiko nane, unga wa mdalasini vijiko sita mpaka nane, unga wa habat sawda [black seed] vijiko vinne mpaka sita.

Jinsi Ya Kuandaa:
~Chukua  tangawizi zako na vitunguu saumu uweke kwenye blenda kisha usage mpaka vyote viwe laini.
~Weka unga wa msamitu, mdalasini na unga wa habat sawda kwenye blenda kisha taratibu huku ukiwa umewasha blenda mimina taratibu asali mbichi ya nyuki wadogo mpaka lita nzima iishe kwa muda wa kama dakika mbili juisi yako itakuwa tayari
~Zima blenda na uweke juisi yako kwenye kifungashio safi

Matumizi yake, utakuwa ukilamba/kula vijiko viwili asubuhi unapoamka kabla hujala chochote, na usiku utatumia tena vijiko vitatu kabla ya kulala kwa siku 25-30 tu.

•_____kama una tatizo la uzito mkubwa au unapenda kukata kitambi, hiyo juisi yako ya nguvu za kiume utaitumia kwa kuchukua vijiko vitatu na kuwekakwenye glass ya maji kisha kukamulia kipande cha limau na kunywa.

Nikukumbushe kwamba hii tiba yako ni kwa ajili ya changamoto zako zote za kukosa nguvu za kiume
Kuanzia kwenye kuongeza wingi na ubora wa manii, kuondoa athari zilizotokana na upigaji punyeto na kuongeza kiwango cha msisimko wa tendo la ndoa.

Kuna wale ambao tumejichua sana kiasi cha kupelekea uume kunywea, kusinyaa na kurudi ndani kuwa kama wa mtoto. Unaweza kutumia mafuta ya zeituni, kila asubuhi ukawa unaunyoosha na kuuvuta uume wako kwa kutumia mafuta hayo, yatakusaidia kuinyanyua misuri iliyodhoofu kwa sababu ya punyeto, chango au ngiri kama uliwahi kuwa nayo.

Mpaka hapo sina la ziada zaidi ya kusubiri maswali yenu, Nguvu za kiume ni pana sana, nitakuwa nikileta tips kila mara kadri tunavyoendelea kuwa pamoja natumai ndani ya siku 30 hapa hapa tutapata mirejesho mingi ya kutosha.

Simu/WhatsApp 0755988626

Wednesday, April 29, 2020

🍋FAIDA 9 ZA JUICE YA LIMAO ZITAKAZO KUSHANGAZA🍹

🍋🍋UMUHIMU WA KUNYWA JUICE YA LIMAO Au NDIMU KIAFYA.💖💖👇👇


🎯🎯Watalam mbalimbali wa afya wanasema ya kwamba kwa kila siku ni vyema unywe maji ya Limao /ndimu
 ili uweze kujitibu magonjwa na kuimarisha afya yako na Kuwa na muonekano mzuri wa ngozi.

👉👉Unachotakiwa kufanya ni;🎯
✍️✍️Dr.chilo📳 MwanaApp 👩‍⚕️

🍋🍋Weka maji yenye joto kidogo (vuguvugu) katika glasi au kikombe , kata limao au ndimu vipande viwili na kamua kipande kimoja tu ndani ya glasi yenye maji.🍹🍹

🍋🍋Kunywa na uanze siku mpya. Ni vizuri ukafanya hivi dakika 30 kabla ya kula chochote kingine kwa faida zaidi.🍷🥂🍹🍹🍋🍋🍋🍋.


👩‍❤️‍👩👩‍❤️‍👩. Mshirikishe mwenzio ili naye afaidike na elimu hiii 👩‍👩‍👧‍👦👩‍👩‍👧‍👦👩‍👩‍👧‍👦

🎯FAIDA ZA KUNYWA MAJI YA LIMAO .
utajionea Mabadiliko makubwa Kwenye mwili wako.👇👇👇👇🍋🍋

💖1. Huchochea Mmeng’enyo💖

🍋🍋Maji yenye ndimu husaidia chakula kusagika vizuri na haraka katika mfumo wa chakula.
🍋🍋Japo limao lina asidi(acid) lakini likiwa tumboni huwa alkali (alkaline) na kufanya mazingira mazuri kwa usagaji wa chakula.
🍋🍋Pia maji ya uvuguvugu na LIMAO husaidia kupunguza michirizi ya unene sehemu mbalimbali za mwili.

💖2. Huboresha Kinga za Mwili💪

🍋Vitamini C na potasiumu iliyomo kwa wingi katika limao inasaidia katika utengenezaji wa seli za kinga katika mwili Hivyo hukufanya usipate Magonjwa nyemelezi🍋.

💝3. HUSAIDIA KUONDOA FREE RADICALS MWILINI💖


🍋🍋Vitamini C ni antioksidant (antioxidant) ambayo inasaidia kuondoa free radicals mwilini ambazo zimetambulika kusababisha saratani (cancer).
💝4 .Usafishaji wa Mwili na Damu💖

🍋🍋Limao husaidia kusafisha damu kwa kuondoa uchafu. Limao pia husafisha figo ,ini na mfumo wa chakula.

💝5. Dawa ya Kikohozi na Mafua💖

🍋🍋Limao ikitiwa katika maji ya uvuguvugu na asali husaidia sana katika kutibu mafua na kikohozi kwa njia ya asili NA kukufanyia ujisikie vizuri kwa Magonjwa yanayohusu mfumo wa hewa.

 💝6. HUSAIDIA NGOZI ISIZEEKE MAPEMA.💞

🍋🍋Limao inasaidia kufanya ngozi isizeeke. Kama unataka kubaki kijana basi limao litakusaidia. Tabia za vitamin C za kusafisha uchafu zinasababisha kufanya ngozi kuwa na afya na kutozeeka haraka.👇👇

💝💝7. Husaidia Kupungua Uzito💞💞

🎯🎯Limao hupunguza hamu ya kula. Na inajulikana kuwa sababu kubwa ya watu kuwa na uzito mkubwa ni kula chakula kingi au kula mara kwa mara. Limao litakufanya ujisikie kushiba muda mrefu hivyo kusaidia wale amabao wanataka kupungua uzito.

💝💝8. Kuondoa Harufu ya Mdomo🤣🤣
Limao husaidia kuua bakteria wabaya mdomoni ambao husababisha harufu mbaya Ukiwa unaongea hii nikero kubwa .
🍋🍋Ukiwa upo na mpenzi wako akiwa ananuka mdomo ndo utakua ilivyo kero Kama utahitaji tiba na ushauri wasiliana na Dr .chilo uweze kumaliza shida hii
💝💝9.Husaidia Kuondoa harufu mbaya kwapani.
🍋🍋Limao Ni Kitu Muhimu Sana Kwenye Kuondoa harufu mbaya kwapani na Michirizi sehemu mbalimbali za mwili ,ili kuweza Kupata Kanuni za kutumia Limao ili Kuondoa Michirizi na harufu mbaya kwapani
📳📳wasiliana na Dr.chilo kwa WhatsApp number +225755988626.
na install MwanaApp kujifunza mambo mengi ZAIDI ya Afya.👇👇👇👇

 #daktari mkononi#Afya yako mtaji wako🎯🎯💖

Monday, April 27, 2020

🤫Maneno 20 Ambayo Hutakiwi Kumwambia Mtoto Wako🤐


🎯Mara kadhaa wazazi wamekuwa wakiwaambia watoto wao maneno mbalimbali wakati wakiwa na furaha au hasira. Ipo nguvu kubwa kwenye maneno ya kutamkiwa ambayo wazazi wengi hawaifahamu.

💡 Kuna Siri kubwa kwenye kauli unazozitoa juu ya maisha yake ya baadae , hakika maneno yanaweza kujenga au kubomoa maisha ya mtoto kwa kiasi kikubwa.
 🤐 fahamu maneno 20 ambayo hutakiwi kumwambia mtoto wako.🎯

🤐1. Wewe ni mtoto mbaya🤫

Wazazi wengi wanapokasirishwa na mtoto humwambia wewe ni mtoto mbaya, hili humfanya mtoto ajione hafai na itamjengea kutojiamini .

🤐2. Kwanini usiwe kama dada au kaka yako?🤔

🎯Kauli hii humfanya mtoto ajione dhaifu kwa sababu unamlinganisha na wengine. Kauli hii pia humjengea chuki na wivu kwa wale unaowataja kwake kuwa ni bora. Hili husababisha watoto kuchukiana wenyewe kwa wenyewe na kutopeana ushirikiano Siku wakiwa Wakubwa. pia MTOTO ataona ndani ya familia Kuna ubaguzi.

🤫3. Huwezi hili /unajisumbua tuu🤐

🎯Mwache mtoto ajaribu ashindwe na si wewe kumwambia kuwa hawezi.
"kwani kwenye maisha ni bora ujaribu na ushindwe kuliko kushindwa kujaribu." 💪kama mzazi unapaswa kuwa hamasa kwa mtoto na si kumkatisha tamaa.

🤐🤐4. Usiongee na mimi Tena ukome.

 🤔🤫Kama hautaki mtoto wako aongee na wewe, je unataka aongee na nani? Ukiwa umekwazwa na mambo yako, usihamishie matatizo hayo kwa mtoto.hii itamfanya atengeneze usugu  wa dharau na kibuli kwako mwenyewe.
♥️♥️Kumbuka mtoto naye ana haki ya kusikilizwa, msikilize na umjibu kama inavyotakiwa.

🤐🤐5. KWANINI UNAFANYA VITU KAMA MWANAMKE   ??🤔

🎯👉Kumwambia mtoto neno hili ni kumwonyesha kuwa kuna jinsia fulani bora au yenye nguvu zaidi. Hivyo ni vyema kutokumwambia mtoto neno hili, mwache akue na atatambua mwenyewe kama kuna jinsia dhaifu au yenye nguvu zaidi.

🤐🤐6. Niache/ Usinisumbue🤫🤫

🎯Wazazi wengi hupenda kuwaambia watoto wao “niache” “nina kazi niache” “usinisumbue”, n.k. Kumbuka kuwa wewe ni kila kitu kwa mtoto wako, je unataka akuache aende kwa nani?

🌱🌱Tenga muda na uwe karibu na mtoto wako na kuweza kusikiliza hisia zake.hapo utaweza kugundua kipaji Cha mtoto wako.

🤐7. Hakuna mtu anamtaka mtoto kama wewe ,kwanza sikupendiii🤫

🎯🎯Kuna wazazi huwajengea watoto roho ya kukataliwa tangu wakiwa wadogo sana. Kumwambia mtoto maneno haya humfanya ajione duni na mwenye kukataliwa; hivyo epuka maneno haya ili umkuze mtoto wako VIZURI nae aje akukumbuke ukiwa mzee.

🎯🎯8. Umeshakuwa usifanye Kama MTOTO.👇👇

✍️✍️Kama mtoto anamalizia utoto wake mwache amalizie asije akacheza ukubwani. Mwache afurahie na kuutumia utoto wake vyema kwani kuna kipindi ataacha utoto yeye mwenyewe. usilazimishe kila Kitu akifanye kwa muda unaoutaka wewe.

💪💪9. Wewe ni mvivu/ Ujiwezi /huna unachokijua wewe.

🏋️🏋️Mtoto akishatambua kuwa wewe unamwona ni mvivu, kamwe hawezi kuwa na bidii ya kazi. Mtoto anaposhindwa kufanya kazi vyema, mhamasishe na kumtia moyo badala ya kumwambia wewe ni mvivu / upokama mlenda mlenda tuuu .

😫10. Unaninyima raha wewe mtoto hujui tuuu😏😏

Mara nyingi watoto wanapowakwaza wazazi, wazazi huwaambia kuwa wanawanyima raha. Je kama unamwambia mtoto kuwa yeye siyo chanzo cha furaha kwako ni nani atakayekupa furaha?
😠 itamjengea hofu kila atakapo Kuwa Karibu yako na hawezi kukupaushirikiano wa maono na fikra zake.🙆🙆

🐓11.  lazima ufuate sheria zangu 🤛

🎯 Wazazi Wengi hujifanya mabepali/ na kutangaza utemi kwa WATOTO wao sio zuri kabsa  mpe nafasi Mtoto Kuwa huru kifikra.
🎯utamfanya Mtoto asiwe na uamuzi juu ya maisha yake na Kuwa mtumwa wa fikra zako 👣👣


🎯🎯12. Mali zote hizi Ni zako na nitakufanyia chochote unachotaka.🤸

🧠Inawezekana una mali nyingi ambazo kweli kabisa ni za mtoto wako, lakini unapaswa kumjengea mtoto akili ya kutafuta na si kumpumbaza kwa mali ulizo nazo.🧠🎯

Kumwambia mtoto kila kitu changu ni chako, humfanya asifanye bidii au aone ana haki ya kupata na kutumia kila kitu jinsi apendavyo, utaweza ukaja kujuta baadae kwa Maneno yako .


💖💖13. Nakupenda kuliko watoto wangu wote 💯💯

💘💘 Waswahili wanasema unampa bichwaaaa na kujiona keki .
Kauli hii humfanya mtoto awe mbaguzi na aone kuwa kuna ubaguzi na upendeleo kwenye familia. Hata kama unampenda mtoto fulani zaidi, basi usimwambie mtoto mwingine.
😁😁kauli zako Kuna Siku zitakukosesha Amani🙄🙄

😜14. Siwezi kukukatalia kitu .

🍎🍎 Kauli hii ni mbaya humfanya mtoto akutawale na aone kuwa unatakiwa kutii, kukubali na kumpa kila anachokitaka.kama unaijua kesho yako Basi endelea kumwambia hilo neno🌓


🙋15. Usiongee  au  Usiwatembelee Watu fulani fulani .

HakunaKitu kibaya Kama kurithishwa MAADUI.
Kama una chuki zako, zimalize wewe mwenyewe na si kuzihamishia kwa mtoto. Mtoto anapokuja duniani hutafuta kujenga mahusiano na watu na si kujenga chuki na matengano.

🤲🤲16. Sitakusamehe milele🤝🤝

"Kusamehe mtu aliyekukosea Kuna msaada mkubwa kwa Afya yako ulie samehe kuliko aliyekukosea._"

🙏🙏Mzazi anapaswa kuwa mfano mzuri wa kumfundisha mtoto kusamehe. Ikiwa wewe humsamehi anapokukosea, je unafikiri atakuwa na roho ya kusamehe wengine? Mfundishe mtoto kusamehe.👌👌

🤜17. Ngoja Mtu fulani aje akupige .💔

💗Hii ni kauli inayopendwa sana na wazazi wengi hasa wakina mama ,mama usitengenezee chuki kwa watu wengine 👉 timiza wajibu wako🙋.
Kauli hii humfanya mtoto amwogope baba na amwone kama adui, pia humfanya mtoto amwone mama kuwa ni dhaifu, ikiwa baba hayupo mtoto atafanya makosa kwani anajua mama hamfanyi kitu chochote na hatuwezi.

😥18. Matusi yote  na Majina mabaya.

🎯Mtoto mtukanaji mara nyingi anaishi kwenye familia inayotukana. Utamkuta mama anamwita mtoto mbwa ,mbuzi, ng’ombe, shetani, jambazi, paka, nguruwe,  n.k. je kweli ulizaa vitu hivyo Basi Kama yeye mbwa, Basi wewe utakua mama mbwa Sasa. 🙄Jiulize tuu Siku  akujibu  hata wewe mbwa 👉 Kama unavyoniita👌👌.
Kama nakuona vile itakavyo kuchoma Basi tuache kuita WATOTO Majina mabaya.
📖📙Unapomtukana mtoto, naye hujifunza kuwatukana watu wengine na Siku atakutukana wewe pia mbele za watu. Pia humwathiri kisaikolojia na kiroho na kumfanya awe kama kile unachomwita.

🔪🔪19. Nitakumaliza au nitakuua🔪

Baadi ya wazazi huenda mbali zaidi na kuwaambia watoto wao maneno ya kuwatishia kuwadhuru vibaya au kuwaua.

Hili humwathiri mtoto kisaikolojia na kumjengea tabia ya kuwatishia au kuwadhuru watu wengine. Kama mtoto anatishiwa kuuwawa na wewe ni nani atakayemlinda?
 💡chunga ulimi wako👅


20. Acha kulia haraka au usilie

👁️Kulia ni njia moja wapo ya mtoto kueleza hisia zake. Kumzuia mtoto kulia ni sawa na kumkataza kuweka wazi hisia zake. Mwache alie kama hana maradhi, kwani baada ya muda atachoka na kunyamaza mwenyewe.
Kitendo Cha kulia hata kwa watu wazima HUONGEZA Siku za kuishi.
💡Muombe Mungu akujaria hekima,busara na maarifa ya kumkuza mtoto kwenye tabia unayoipenda *
🎯MUNGU ATIMIZE HITAJI LA MOYO WAKO🙏🙏
✍️✍️DR.CHILO.💡 Asante kwa kusoma hadi Mwisho ,TOA MAONI yako hapo chini.

Sunday, April 26, 2020

FAIDA 15 ZA KUFUNGA KULA ZA KIAFYA

Watu wengi wanafahamu kuwa kufunga kula ni swala linalohusiana na imani zaidi. Wengi hawafahamu kuwa kufunga kula kuna manufaa ya kiafya pia.
🍏🍏Kufunga kula ni tendo lenye historia ndefu sana ambayo kimsingi chimbuko lake ni sababu za kiimani. Hata hivyo shuhuda na tafiti mbalimbali zimedhihirisha kuwa kuna manufaa mengine kemkem ya kufunga kula mbali na yale ya kiimani.
📒📒Ikiwa basi unapenda kuongeza maarifa pamoja na kuboresha afya yako, fahamu faida 15 za kufunga kula.

1. Huboresha metaboli

Metaboli ni mchakato ambao mwili hutumia virutubisho kutoka kwenye vyakula ili kujipa nguvu.
📒📒Unapofunga kwanza unapumzisha mfumo wako wa umeng’enyaji, pili unaufanya mchakato wa metaboli kwenda vizuri kwani mwili utatumia vyema virutubisho vilivyoko mwilini tayari.

2. Huboresha mzunguko wa damu

Tafiti mbalimbali zinaeleza kuwa kufunga kula hufanya mzunguko wa damu uende vizuri hasa kwa watu wenye aina ya pili ya ugonjwa wa kisukari (Type 2 Diabetes)

3. Husaidia kupunguza uzito

Kufunga kula ni njia mojawapo bora ya kupunguza uzito kwani kwa njia hii mwili hutumia mafuta yaliyoko mwilini ili kujipa nguvu.

4. Hufanya insulini kufanya kazi vizuri

Unapofunga kula mwili huzalisha insulini ili kutawala kiwango cha sukari mwilini kwani hakuna sukari inayoingia. Kwa njia hii insulini itaweza kuzalishwa na kufanya kazi ipasavyo mwilini mwako.

5. Hupunguza shinikizo la damu

Watu wengi wanapofunga hujikuta pia shinikizo la damu likipungua, hii inasababishwa na kupungua kwa kiwango cha chumvi kwenye damu.
Kumbuka chumvi nyingi husababisha shinikizo la damu. Hivyo kufunga ni kupunguza kiasi cha chumvi kinachoingia mwilini.

6. Husaidia kutawala sukari mwilini

Kwa watu wenye kiwango kikubwa cha sukari mwilini, wanaweza kutumia njia ya kufunga ili kukipunguza. Kumbuka unapofunga unapunguza pia kiwango cha sukari kinachoingia mwilini.

7. Hurefusha maisha

Watafiti wa afya wanaeleza kuwa kula sana kunakufanya pia uzeeke mapema. Wanaeleza kuwa kula kidogo kutatawala mchakato wa metaboli, hivyo kuzuia seli kuchakaa mapema.

8. Hukuwezesha kuhisi njaa

Kuna watu huwa wanashindwa kula vizuri kwa sababu huwa hawahisi njaa vyema. Njia moja wapo ya kupata njaa ambayo itakusababisha ule vyema, ni kufunga kula.

9. Huboresha utendaji kazi wa ubongo

Kufunga kula kunachochea uzalishaji wa protini ya brain-derived neurotrophic factor (BDNF) ambayo ni muhimu sana katika ukuaji, afya na utendaji kazi wa seli za fahamu za ubongo (neurons).

10. Huboresha kinga mwili

Kufunga kula hufanya kinga mwili kujiimarisha ili kukabiliana na chochote kinachoweza kutokea.
Hii ni kwa sababu unapofunga unabadili hali ya msingi ya mwili na inabidi kinga mwili kujiimarisha kujianda na lolote linalohusiana na mabadiliko hayo.

11. Huboresha afya na mwonekano wa ngozi

Ingawa lishe bora ni muhimu kwa ajili ya afya ya ngozi, kufunga kula kunaifanya ngozi iwe na mwonekano mzuri.
Ngozi inapokuwa na sukari nyingi, huifanya iwe na mwonekano usiovutia.
Kwa kufunga kula utapunguza kiwango cha sukari kinachoingia mwilini, hivyo kuwa na ngozi yenye mwonekano mzuri.

12. Huwezesha kujizalisha upya kwa seli

Seli hukua na kuchakaa au hata kufa kwenye mwili wa binadamu.  Kama ilivyo kwa kinga mwili, utafiti unaonyesha kuwa unapofunga mwili huzalisha seli mpya ili kujiaanda au kukabili badiliko lolote linaloweza kutokea.

13. Huboresha afya ya moyo

Watafiti wa afya wanaeleza kuwa kufunga kula kunasababisha mishipa ya moyo na misuli kufanya kazi vyema.

14. Husaidia Kutawala umbo la mwili na mwonekano

Njia nzuri ya kutawala umbo au mwonekano wako ni kwa kutawala kile unachokula. Hii ndiyo sababu walimbwende au warembo hujizuia sana kula hovyo ili wasije wakaharibu mwonekano wao.
Kwa njia ya kufunga kula utaweza kutawala umbo na mwonekano wa mwili wako kama unataka uwe mnene au mwembamba.
#Ya Ziada

15. Huokoa pesa

Hii ni faida ambayo siyo ya kiafya lakini inatokana na kufunga. Kama umezoea kununua chakula, mara ufungapo utaokoa pesa nyingi ambazo ungezitumia kwa ajili ya kula.
Naamini hii ndiyo sababu hata watu wenye bajeti ngumu hupunguza milo ya chakula ili waokoe pesa.
Kumbuka

Friday, April 24, 2020

JE WAJUA KWANINI CORONA SIO MWISHO WA DUNIA

🌍🌍🌏    CORONA_SIO_MWISHO WA_DUNIA
🌐🌐DUNIA   imepitia majanga magumu  mbalimbali ZAIDI ya hivi virus vya Corona  na Watu walikufa ZAIDI ya COVID-19 inavyo leta vifo Sasa ⚰️⚰️⚰️⚰️⚰️
👉👉Hutakiwi kuogopa Corona ila unatakiwa kujua njia sahihi za KUJIKINGA na Corona virus,ukiwa na hofu inafanya kinga za  mwili kupunguza ufanisi wake wa kazi.

🌍🌍COVID-19 ni nini?💊💊

Hiki ni kirusi kutoka katika familia kubwa ya virusi vya corona. Virusi vya corona vipo vya aina nyingi na vinaweza kusababisha mafua ya kawaida na pia mafua hatari kama Severe Acute Respiratory Syndrome (SARS) NA Middle East Respiratory Syndrome (MERS). COVID19 ni vinasaba vipya ambavyo havijawahi kutokea hapo awali.

🦇Chanzo cha virusi vya corona inaripotiwa kuwa wanyama pori.🦇

🌍dalili ni pamoja na homa, kikohozi, kukosa pumzi na kupumua kwa shida.

🌏🌏Kwanini mlipuko huu sio mwisho wa dunia🌍🌍🔕🔕

Ugonjwa huu umeripotiwa kwanza December 31 mwaka jana, hii haimaniishi ulianza tarehe hio. Kuna uwezekano mkubwa watu walianza kusambaza virusi vya Corona mapema zaidi na kwa sababu wengi hupata dalili zisizo kali, zenye kufanana na mafua, wasijue wameambukizwa corona.

📜📄📒Kutoka katika ripoti ya chuo kikuu cha John’s Hopkin’s marekani takribani 3.7 % ya waliougua corona wamefariki. Maana yake ni kwamba takribani 96% ya wagonjwa watapona kabsaaaaaaa ✍️

✍️✍️Ukilinganisha na aina nyingine ya virusi vya corona kama SARS kiasi cha wagonjwa wanaofariki ni 10% (jumla ya wagonjwa waliofariki duniani ni 774) na MERS ni 34% (toka 2012 watu waliofariki wamefikia 858). Mafua ya msimu (seasonal flu) huko marekani yanauwa 0.1% ya wagonjwa.

🌏Kihistoria kuna magonjwa hatari zaidi yaliowahi kutokea📜📜

🌍Mwaka 1347 dunia ilikumbwa na ugonjwa wa tauni (The Black Death) ambayo inakadiriwa kuuwa watu kuanzia milioni 25 hadi milioni 200 sawa sawa na idadi  ya wa wananchi wote wa Nigeria leo hii.

🌍Mwaka 1918 janga la kidunia (pandemic) la mafua ya hispania (spanish flu) lilitangazwa. Mafua ya hispania yaliathiri watu milioni 500 na kuuwa takribani watu milioni 50 sawa na idadi ya watanzania.

🌍Mwaka 1968 mafua ya Hong Kong yaliuwa takribani watu milioni 1 hadi 4. Na janga la mwisho la kidunia kutangazwa na WHO kabla ya corona ni mafua ya nguruwe mwaka 2009 yalioathiri watu milioni 60 na kuuwa watu 12,469.

🌍🌍Ninachojaribu kusema hapa ni kwamba dunia imepitia majanga mengi yaliokuwa na athari kubwa kwa uhai wa mwanadamu zaidi ya corona na tukashinda na Mwisho wa dunia haukutokea.
👩‍⚕️👩‍⚕️. Cha msingi ni kuendelea kusikiliza maelekezo kutoka katika mamlaka za afya, kufuata maelekezo ya kunawa mikono kwa sabuni au hand sanitizers, Kuvaa barakoa , kutosalimiana kwa kupeana mikono na kuripoti mgonjwa mwenye dalili tajwa.
🍎Pia kumuomba Mungu atupitishe kwenye janga hili Kama tulivyotoka hayo MENGINE 👩‍⚕️👩‍⚕️👩‍⚕️
🌍🌍Punguzeni hofu 🌏 my

Thursday, April 16, 2020

JE SIZE GANI YA UUME NI SAWA? (AVERAGE PENIS SIZE)

✍️Dr.chilo.MwanaApp 👩‍⚕️ online CLINIC
👩‍⚕️👩‍⚕️Ni swali ambalo wanume wengi wamekua wanajiuliza.je size ipi ya uume ndo tunasema ni sawa(normal or average), je ni size gani ya uume ndo inakua kibamia?

📚📚Kulingana na utafiti uliochapishwa kwenye harida la Madaktari wa mfumo wa uzazi wa wanaume La Uingereza (BRITISH JOURNAL OF UROLOGY INTERNATIONAL) soma nakala ya  utafiti HAPA
urefu wa  kawaida wa uume uliolala(flaccid penis) ni kuanzia inch 3.61 kuendelea na urefu wa uume uliosimama  ni kuanzia inch 5.16. Na unene wa kawaida wa uume uliolala ni kuanzia inch 3.66 wakati unene wa kawaida kwa uume uliosimama ni kuanzia inch 4.59.

📌📌Endelea kufatana nami ili kufahamu zaidi kuhusu size ipi ni sawa kwa uume,size ipi nzuri kwa kuridhishana wakati wa tendo la ndoa na kipi unaweza kufanya kama una wasiwasi na maumbile yako kuwa madogo.

📚📚TAFITI ZINASEMAJE🗣️🗣️

 Utafiti wa JARIDA LA MADAKTARI WA MFUMO WA UZAZI WA WANAUME ulitumia Majaribio takribani 17 na kuhusisha wanaume zaidi ya 15,000. Katika utafiti huu ilionekana kwamba 95% ya wanaume walikua na urefu wa inch6.3  na kwamba kati ya wanume 100 wanaume 5 tu ndo wana size zaidi ya inch 6.3. na asilimia 5% walionekana kuwa na uume wa inch 3.94,ikimaanisha kuwa wanaume 5 kati ya 100 wana uume chini ya inch 3.94.





JINSI YA KUPIMA SIZE YA UUME

💞💞Vipimo vya uume vipo vya aina mbili.wakati uume umelala na wakati uume umesimama.
Kuna urefu wa uume wakati umelala na urefu wakati uume umesimama,hivyo hivyo pia unene wakati uume umelala na unene wakati umesimama.

🌹🌹Kupima urefu wakati uume umelala na wakati umesimama chukua rula  unapima kuanzia kwenye mfupa wa Pubis(pubic bone) hadi ncha  ya kichwa cha uume.

Kupima unene chukua tape measure na pima mzunguko wa uume.



JINSI YA KUPIMA UREFU





JINSI YA KUPIMA UNENE







👌JE UNAWEZA KUONGEZA SIZE YA UUME?👌👌

Jibu ni ndio inawezekana,vipo vifaa maalum Vinajulikana kama penis vacum pumps na madawa mbali mbali ya kuongeza size ya uume lakini vitu hvi vina madhhara pia kwa mtumiaji.Yapo mazoezi maalumu ya kuongeza size ya uume ambayo nitaelezea katika makala inayofata.


😋😋Unapochagua njia ya kuongeza uume inapaswa kuwa makini na kuelewa kwa undani njia hiyo inafanyaje kazi na ina madhara gani.njia ya maozezi imeonekana kutokuwa na madhara.