Wednesday, April 29, 2020

🍋FAIDA 9 ZA JUICE YA LIMAO ZITAKAZO KUSHANGAZA🍹

🍋🍋UMUHIMU WA KUNYWA JUICE YA LIMAO Au NDIMU KIAFYA.💖💖👇👇


🎯🎯Watalam mbalimbali wa afya wanasema ya kwamba kwa kila siku ni vyema unywe maji ya Limao /ndimu
 ili uweze kujitibu magonjwa na kuimarisha afya yako na Kuwa na muonekano mzuri wa ngozi.

👉👉Unachotakiwa kufanya ni;🎯
✍️✍️Dr.chilo📳 MwanaApp 👩‍⚕️

🍋🍋Weka maji yenye joto kidogo (vuguvugu) katika glasi au kikombe , kata limao au ndimu vipande viwili na kamua kipande kimoja tu ndani ya glasi yenye maji.🍹🍹

🍋🍋Kunywa na uanze siku mpya. Ni vizuri ukafanya hivi dakika 30 kabla ya kula chochote kingine kwa faida zaidi.🍷🥂🍹🍹🍋🍋🍋🍋.


👩‍❤️‍👩👩‍❤️‍👩. Mshirikishe mwenzio ili naye afaidike na elimu hiii 👩‍👩‍👧‍👦👩‍👩‍👧‍👦👩‍👩‍👧‍👦

🎯FAIDA ZA KUNYWA MAJI YA LIMAO .
utajionea Mabadiliko makubwa Kwenye mwili wako.👇👇👇👇🍋🍋

💖1. Huchochea Mmeng’enyo💖

🍋🍋Maji yenye ndimu husaidia chakula kusagika vizuri na haraka katika mfumo wa chakula.
🍋🍋Japo limao lina asidi(acid) lakini likiwa tumboni huwa alkali (alkaline) na kufanya mazingira mazuri kwa usagaji wa chakula.
🍋🍋Pia maji ya uvuguvugu na LIMAO husaidia kupunguza michirizi ya unene sehemu mbalimbali za mwili.

💖2. Huboresha Kinga za Mwili💪

🍋Vitamini C na potasiumu iliyomo kwa wingi katika limao inasaidia katika utengenezaji wa seli za kinga katika mwili Hivyo hukufanya usipate Magonjwa nyemelezi🍋.

💝3. HUSAIDIA KUONDOA FREE RADICALS MWILINI💖


🍋🍋Vitamini C ni antioksidant (antioxidant) ambayo inasaidia kuondoa free radicals mwilini ambazo zimetambulika kusababisha saratani (cancer).
💝4 .Usafishaji wa Mwili na Damu💖

🍋🍋Limao husaidia kusafisha damu kwa kuondoa uchafu. Limao pia husafisha figo ,ini na mfumo wa chakula.

💝5. Dawa ya Kikohozi na Mafua💖

🍋🍋Limao ikitiwa katika maji ya uvuguvugu na asali husaidia sana katika kutibu mafua na kikohozi kwa njia ya asili NA kukufanyia ujisikie vizuri kwa Magonjwa yanayohusu mfumo wa hewa.

 💝6. HUSAIDIA NGOZI ISIZEEKE MAPEMA.💞

🍋🍋Limao inasaidia kufanya ngozi isizeeke. Kama unataka kubaki kijana basi limao litakusaidia. Tabia za vitamin C za kusafisha uchafu zinasababisha kufanya ngozi kuwa na afya na kutozeeka haraka.👇👇

💝💝7. Husaidia Kupungua Uzito💞💞

🎯🎯Limao hupunguza hamu ya kula. Na inajulikana kuwa sababu kubwa ya watu kuwa na uzito mkubwa ni kula chakula kingi au kula mara kwa mara. Limao litakufanya ujisikie kushiba muda mrefu hivyo kusaidia wale amabao wanataka kupungua uzito.

💝💝8. Kuondoa Harufu ya Mdomo🤣🤣
Limao husaidia kuua bakteria wabaya mdomoni ambao husababisha harufu mbaya Ukiwa unaongea hii nikero kubwa .
🍋🍋Ukiwa upo na mpenzi wako akiwa ananuka mdomo ndo utakua ilivyo kero Kama utahitaji tiba na ushauri wasiliana na Dr .chilo uweze kumaliza shida hii
💝💝9.Husaidia Kuondoa harufu mbaya kwapani.
🍋🍋Limao Ni Kitu Muhimu Sana Kwenye Kuondoa harufu mbaya kwapani na Michirizi sehemu mbalimbali za mwili ,ili kuweza Kupata Kanuni za kutumia Limao ili Kuondoa Michirizi na harufu mbaya kwapani
📳📳wasiliana na Dr.chilo kwa WhatsApp number +225755988626.
na install MwanaApp kujifunza mambo mengi ZAIDI ya Afya.👇👇👇👇

 #daktari mkononi#Afya yako mtaji wako🎯🎯💖

No comments:

Post a Comment