Tuesday, March 31, 2020

JIKINGE NA CORONA KWA ,A E I O U

*A   E   I   O   U*
*A*- acha kusalimiana kwa mikono🇹🇿

*E*- epuka mikusanyiko hasa isiyo ya lazima🇹🇿

*I*- izuie chafya kwa kitambaa au kwa mkono🇹🇿

*O*- osha mikono yako mara kwa mara kwa sabuni au vitakasa mikono🇹🇿

*U*- uonapo dalili za ugonjwa kwako au kwa mwingine ripoti haraka au wahi kituo cha afya.🇹🇿
   *NILINDENIKULINDE*
💪powered by MwanaApp👇👇 https://play.google.com/store/apps/details?id=mwanaapp.appjbh
 "Tanzania bila korona           inawezekana!"

No comments:

Post a Comment